Uhuru amekuwa akidhihirisha kuwa kiongozi wa watu wote, akikutana na wote kuanzia watoto, vijana na hata vikongwe bila kujali umri wala daraja ya kila mmoja katika jamii.
Habari Nyingine: Ulafi wa baba wamfanya bintiye kutalikiwa dakika 15 baada ya harusi
TUKO.co.ke imekuwa ikikuletea picha kadha zikionyesha mapenzi yake kwa watoto na Wakenya wamekuwa wakifurahia.

Haabri Nyingine: Mkewe Alfred Mutua amtambulisha dadake mrembo kwa umma
Hivi juzi, wengi wamemuangazia kwa kuweza kukutana na wakongwe na hata watu wa umri wa makamo, akikutana nao na hata kula nao kama njia ya kushiriki maisha yao.
Katika mojawapo ya matukio Nakuru, Uhuru aliushika mkono na kumsalimia mama ambaye hakuwa na fahamu. Mama akaonekana kupigwa na butwaa kwamba amemsalimu rais.
Tuma neno ‘NEWS’ kwa 40227 ili kupata habari muhimu pindi zinapochipuka
TUKO.co.ke imekusanya picha kadha ambapo Uhuru amewapa mkono wengi wa wakongwe aliokutana nao, hajamuonyesha hata mmoja mgongo.



Read ENGLISH VERSION
Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri: mwangi.muraguri@tuko.co.ke
Subscribe to watch new videosChanzo: TUKO.co.ke
ncG1vNJzZmijmajEorTIpaBnrKWgvG%2BvzmeinmdibIJ5hJJmp6KbmJZ6u7XNmrGop56usrS0wGairq%2BRYsKpwdGuZKGtp5bDtsDImmSnmV2gwrGxzZ2ummWjlruiec2aZLCZm6S7qMPEZ5%2BtpZw%3D